Maktaba yote ya Kiislamu

106 - Quraysh - Quraysh

1

Kwa walivyo zoea Maqureshi,

2

Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.

3

Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,

4

Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.