Maktaba yote ya Kiislamu

106 - Quraysh - Quraysh

:1

Kwa walivyo zoea Maqureshi,

:2

Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.

:3

Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,

:4

Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.