Maktaba yote ya Kiislamu

107 - The Small kindnesses - Al-Mā`ūn

:1

Je! Umemwona anaye kadhibisha Malipo?

:2

Huyo ndiye anaye msukuma yatima,

:3

Wala hahimizi kumlisha masikini.

:4

Basi, ole wao wanao sali,

:5

Ambao wanapuuza Sala zao;

:6

Ambao wanajionyesha,

:7

Nao huku wanazuia msaada.