Maktaba yote ya Kiislamu
1

Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?

2

Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?

3

Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,

4

Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,

5

Akawafanya kama majani yaliyo liwa!