Maktaba yote ya Kiislamu
1

Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.

2

Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.

3

Atauingia Moto wenye mwako.

4

Na mkewe, mchukuzi wa kuni,

5

Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.