Maktaba yote ya Kiislamu
1

Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,

2

Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,

3

Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.